Swahili - Sorah Al-Humazah ( The Slanderer )

Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Humazah ( The Slanderer )

Choose the reader


Swahili

Sorah Al-Humazah ( The Slanderer ) - Verses Number 9
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ ( 1 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 1
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ ( 2 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 2
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ ( 3 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 3
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ ( 4 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 4
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ ( 5 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 5
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ ( 6 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 6
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
الَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى الْأَفْئِدَةِ ( 7 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 7
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌ ( 8 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 8
Hakika huo utafungiwa nao
فِي عَمَدٍ مُّمَدَّدَةٍ ( 9 ) Al-Humazah ( The Slanderer ) - Ayaa 9
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.

Random Books

Choose language

Choose Sorah

Random Books

Choose tafseer

Participate

Bookmark and Share