Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Burooj ( The Big Stars )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Burooj ( The Big Stars ) - Verses Number 22
وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ ( 7 )

Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَن يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ( 8 )

Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
الَّذِي لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ ( 9 )

Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
إِنَّ الَّذِينَ فَتَنُوا الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَتُوبُوا فَلَهُمْ عَذَابُ جَهَنَّمَ وَلَهُمْ عَذَابُ الْحَرِيقِ ( 10 )

Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.
Random Books
- HUJJA THABITI HUKMU YA MWENYE KUTAKA KUOKOLEWA NA ASIYEKUWA M'NGU AU AKASADIKI WAGANGA NA WAPIGA BAO KIMETUNGWA NA MWANACHUONI MjUZI MTUKUFU-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339838
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- Makasisi Waingia Uislamu-
Source : http://www.islamhouse.com/p/380267
- Hisn Al-Muslim (Kinga Ya Muislamu katika Nyiradi Za Qur-ani Na Hadithi Za Mtume)-
Formation : Said Ali ibn Wahf AI-Qahtaani
Source : http://www.islamhouse.com/p/1590
- RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIHiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/309041